Maneno ya Wenye hekima
๐ ุฃَْููุงู ُ ุงูุญُูู
ุงَุกِ ๐
๐MANENO YA ๐
WENYE HEKMA
๐ซ{{ 1004 }}๐ซ
☆ َูุงْูุนَُููุง ุฎَْูุฑَุงุชِ ☆
NA FANYENI YALIYO MEMA✔
______________๐น▪▪
✍َูุงَู ุฃุญَุฏُ ู
َِู ุงูุญُูู
َุงุกِ
๐Kasema mmoja
Mwenye HEKMA:'
๐ ู
َุฏُุญُ ุงّููุงุณِ ََูู َْูู َูุฏْุฎٌََูู ุงูุฌَّูุฉَ
✍ Kusifiwa na Watu kwako haitokuingiza Peponi.(Ukajiona ndio umefuzu)
๐ َูุฐَู
ُّ ุงّููุงุณِ ََูู َْูู ُูุฎุฑِุฌََู ู
َِู ุงููุงุฑ
✍ Na kukusema vibaya Watu Haitokutowa wewe Motoni.(Ukaona ndio umeokoka tena ).
๐ ِูุฐََูู ูุงَ ุชُْูู ุนَุจْุฏًุง ِูุฃَููุงِِููู
ْ
✍Kwa hivyo usiwe mtumwa kwa kusikiliza Midomo yao tu .(Na huna ulifanyalo na kutenda yaliyomema )
___________________๐
๐ข☆ ZI NGATIA☆
๐ Matendo Mema yenye Ikhlaas ndio yatakayokukingiza wewe kubaki Peponi Milele.
Allah anasema:-
( َูู
َู َูุฃْุชِِู ู
ُุคْู
ًِูุง َูุฏْ ุนَู
َِู ุงูุตَّุงِูุญَุงุชِ َูุฃَُٰููุฆَِู َُููู
ُ ุงูุฏَّุฑَุฌَุงุชُ ุงْูุนَُٰูู )
ุทูู (75) Taa-Haa
_Na atakaye mjia naye ni Muumini aliye tenda mema, basi hao ndio wenye vyeo vya juu._
๐ Matendo yako Maovu na Mchafu na ukafa bila toba ndio yatakayokukuingiza wewe udumu milele Motoni.
Allah anasema:'
( ุฅَُِّูู ู
َู َูุฃْุชِ ุฑَุจَُّู ู
ُุฌْุฑِู
ًุง َูุฅَِّู َُูู ุฌَََّููู
َ َูุง َูู
ُูุชُ َِูููุง ََููุง َูุญَْٰูู )
ุทูู (74) Taa-Haa
_Hakika ataye mjia Mola wake Mlezi naye ni mkhalifu, basi kwa yakini, yake huyo ni Jahannamu. Hafi humo wala haishi._
๐Usipendelee kutaka kusifiwa tu bila hata kutenda yaliyo kheri na mema.
Allah anasema
( َูุง ุชَุญْุณَุจََّู ุงَّูุฐَِูู َْููุฑَุญَُูู ุจِู
َุง ุฃَุชَูุง َُّููุญِุจَُّูู ุฃَู ُูุญْู
َุฏُูุง ุจِู
َุง َูู
ْ َْููุนَُููุง ََููุง ุชَุญْุณَุจََُّููู
ุจِู
ََูุงุฒَุฉٍ ู
َِّู ุงْูุนَุฐَุงุจِ ۖ ََُูููู
ْ ุนَุฐَุงุจٌ ุฃَِููู
ٌ )
ุขู ุนู
ุฑุงู (188) Aal-Imran
_Usiwadhanie kabisa wale wanao furahia waliyo yafanya, na wakapenda kusifiwa kwa wasiyo yatenda, usiwadhanie kuwa watasalimika na adhabu. Yao wao ni adhabu chungu._
________________☆☆☆
✍ MTAARISHAJI
Humoud Al rawahiy
๐+96894646722
Oman
๐ซ๐๐ซ~~~~~~~~~~
Comments
Post a comment