ZINAA
Anasema Allaah:
“Wala msikurubie zinaa hakika hiyo (zinaa) ni uchafu (mkubwa) na ni njia mbaya (kabisa).” Israa: 32
Anasema Allaah Akiwakataza waja Wake zinaa na kutoikaribia.
Kutoka kwa Ibn ‘Umar amesema, amesema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wasallam):
“Zinaa inarithisha umaskini (Ufakiri), dhiki katika rizki, na maradhi mengi ni adhabu kwa ajili ya zinaa.
Comments
Post a comment