Sachi Kuruani kwa  Kiswahili   | Andika Maoni Yako | Kuruani tukufu  | Check Omantel Email  |  Sekenke Forums   |   Anuani yetu   | Download  Kuruani |  Sikiliza Kuruani

 

 

  Mambo Mbalimbali

  Mijadala ya kiswahili
  Radio Rahma - Radio ya Kiislamu
  Search Kuruani kwa kiswahili
  Radio Rahma - Radio ya Kiislamu
  Dua Kuhusu Mambo Mbali Mbali.

  Makala Kuhusu Walio Silimu.
 
Simulizi za Bibi Mahiira.
  Ukumbi wa Tafsiri za Ndoto
  Visa Vya Masahaba
 
  Michezo

  Mechi za leo na tv inayotoa
  Mechi zichezwao sasa hivi
  Mechi za kesho kwenye tv
  Mechi za jana kwenye tv
  Mechi kali sana za wiki hii
  Mechi zote hizi kwenye Tv
 
Mashindano yote duniani
  Matokeo ya mechi (Latest)
  Fifa official website
  Afc official Website
 
Cafo official website
 
Uefa official website
 
Copa america official website
  World cup official website
 
Concacaf official website
 
African soccer union
 
  Site za Kidini

  Kuruani Tukufu
 
Links muhimu sana
 
Radio Rahma
 
Mijadala ya Kiswahili
 
Uislamu.org
  Alhidaaya.com
 
Islamtz.org
 
Uislam.net
 
Ukumbi wa Dini
  Sikiliza Quran
 
Aqidah.Net
 
Dua na Adhkaar
 
Makala Kuhusu Islam
 
Visa Vya Kweli
  Yanao Wakhusu Wanawake
 
Maswali Majibu
 
Vitabu Vya Dini
 
Sikiliza Mawaidha
 
Sikiliza Kaswida

 
  Hali ya Hewa Leo - Tanzania

  Dar es Salaam
  Dodoma
  Kigoma
  Mtwara
  Mwanza
  Tanga
  Zanzibar
  Nduli
  Maruku
  MItetemiaaruku

 
 download Programs za GSM

  gsmhacks.com
  series60v3.com
  Ip-mart-forums
  Mobi4all (Arabic)
  Nokia Gate (Arabic)
  Daily Mobile forum

 
 download Program za PC Kamili

  damasgate.com (Arabic)
  Alsayra Forum (Arabic)

 
 Useful Websites

  Google maps
  Wikipedia
  Dictionary
  Facebook
  Google Translate
  Tv online
  Ebay online shopping
  Wheither
 


 


 

 

 

 

 

 

 

 

Prayer Times For 6 Million Cities Worldwide
Country:

 

Search in the Hadith
Search: in
 
 
 

 

 

 


 

Tuishi Kiislam

Abdun-Naaswir Hikmany



Tofauti yetu na wasio kuwa Waislam si chengine kipya ila ni tabia. Uzuri wa mwenendo wa maisha yetu ndio utakaotupatia sifa mbele ya jamii isiyokuwa ya Waislam. Hima yetu ya kutosema uongo na kufuata maadili ya ajabu ndio utakuwa msingi imara wa imani yetu. Haya yote yameelezwa na Habiybul Mustwafaa (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) kuwa hakuletwa yeye isipokuwa kurekebisha jamii kuwa na tabia njema.

Hakika Uislamu wetu umekamilika kwa kuwa na tabia bora za kuigwa na Waislam wenyewe kwa ushahidi wa Qur-aan na Sunnah.

Kama kweli sisi ni Waislam tunaoipenda diyn yetu ni lazima tuwe tayari kuanza kubadilika kila hatua ya maisha yetu kwa kuishi Kiislam. Zingatio letu litatupeleka hatua baada ya hatua ili kurekebisha nyumba iliyojikita kwenye masuala yasioendana kabisa na mila zetu sisi Waislam.


1. TUZUNGUMZE KIISLAM

Muislam wa kweli ni lazima awe ni mkweli, hatakiwi kuzua uongo, kufitinisha, kusengenya wala kuzungumza kwa sauti ya juu.Haya tunayapata ndani ya Qur-aan:

{{Na uteremshe sauti yako; bila shaka sauti ya punda ni mbaya kuliko sauti zote (kwa makelele yake ya bure).}} [Surat Luqmaan: 19]

Pia Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) ametuhimiza sana kushikamana katika kusema ukweli:

“Shikamaneni na ukweli, kwani ukweli unapeleka katika wema, na wema unapeleka Peponi.” [Muslim]


2. TULE KIISLAM

Muislam anatakiwa ale kilicho mbele yake kwa kutumia mkono wa kulia na asiwe na papara ya kusukuma tonge namna ya kima anavyokula. Aanze kula kwa kusema “BismiLlaah” na amalize kwa kusema “AlhamduliLlaah”. Chakula cha Muislam ni lazima kiwe ni cha halali, hatakiwi kula ovyo ovyo kama wanavyofanya wasiokuwa Waislam. Anapokula aligawe tumbo lake kwenye thuluthi tatu. Thuluthi moja ni ya chakula, nyengine ni ya maji na mwisho ni hewa. Hii ni kwa mujibu wa dalili ya Hadityh:

"Kama ukilazimika kula hakikisha theluthi moja ya tumbo lako unaijaza chakula, theluthi moja maji na acha theluthi moja kwa ajili ya hewa (yaani iache tupu)” (At-Tirmidhiy).


3. TUSIKILIZE KIISLAM

Muziki ni haramu na haifai kwa Muislam kuutengeneza, kutengenezewa, kuimba, kuimbiwa, kuutangaza, kuupeleka muziki, kuuza, kula thamani yake, kununua na kuuza. Muziki umekuwa ni tatizo kubwa kwa Waislam kwani wengine hata usingizi hawapati bila ya kusikiliza muziki. Nyumba za Kiislam sasa zimekuwa sawa na magofu kwa kutopatikana maadili ya Kiislam. Kwani wengi wanaishi tofauti na mafundisho ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Ni muhimu kwa Waislam wakawa wanasoma Qur-aan kila siku kwa sauti na kwa kusikilizana kwa mtindo wa dawaar (mmoja baada ya mwengine). Tuzibadilishe nyumba zetu kwa kusikiliza idhaa za Kiislam zisizokuwa na mambo ya uchafu na uzushi.

((Na soma Qur-aan kwa utaratibu na utungo)) [Al-Muzammil 73: 4]

Muislam anayesoma Qur-aan atakuwa pamoja na Malaika na Mitume (‘Alayhi swalaatu was-salaam). Hata yule asiyejua kusoma Qur-aan ni vyema akawa na jitihada ya kujifundisha ilhali anakosea au hata kuchekwa. Amesema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam):

((Yule ambaye kwamba anasoma Qur-aan naye ni mjuzi (hana shida aina yoyote) atakuwa pamoja na Malaika na Mitume (‘Alayhi swalaatu was-salaam) na watiifu. Na yule ambaye kwamba anarudia pamoja na kuwa na shida katika kusoma basi atakuwa na ujira mara mbili(( [al-Bukhaariy, Muslim, Tirmidhy na Ibn Maajah kutoka kwa mama wa waumini ‘Aaishah (Radhiya Allaahu 'anha)]


4. TUVAE NA TUTEMBEE KIISLAM

Maringo ya kutembea bila ya shaka yanatokana na mtu kuvaa nguo za kifakhari ambazo hazitakiwi kuvaliwa kwa Muislam. Muislam wa kiume anatakiwa avae nguo zisizoburura. Mwanamke hatakiwi kuonekana zaidi ya viganja vya mikono na kipaji cha sura yake. Mapambo yote ni halali kwa mumewe na walio Maharimu wake. Haitakikani Muislam kutembea kwa kujivuna, kujifakharisha na maringo. Hivi sivyo Uislam unavyotufundisha kuishi. Qur-aan inasema:

{{Wala usitembee katika ardhi kwa maringo. Hakika wewe huwezi kuipasua ardhi wala huwezi kufikia urefu wa milima}} [Surat Israa: 37]

Usiwaangalie watu kwa jeuri au kwa upande mmoja wa uso. Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) Anasema:

{{Wala usiwatazame (usiwafanyie watu jeuri), kwa upande mmoja wa uso, wala usende katika ardhi kwa maringo, hakika Mwenyezi Mungu hampendi kila ajivunaye, ajifaharishaye.}} [Surat Luqmaan: 18]


5. TUJENGE URAFIKI WA KIISLAM

Miongoni mwa matatizo makubwa ya vijana wetu pamoja na Waislam kukosa maadili ya Kiislam ni kuwa na marafiki wasiokuwa na maadili mema. Ni vyema Muislam akawa hana rafiki hata mmoja kuliko kuwa na marafiki kumi wasioishi Kiislam. Kuishi Kiislam yatakikana juhudi na inaanza kwa kuwa na rafiki mwema atakayekukemea unapofanya kosa na kukupa maneno ya subra wakati wa huzuni.

Lazima tuchague marafiki ambao wako radhi na dini yetu na tuepukane na wale ambao hawako radhi na dini yetu. Na tukiona marafiki zetu matendo yao sio mazuri, ni lazima tuepukane nao kwa sababu tunaweza tukaiga tabia zao ambazo zinakwenda kinyume na dini yetu.
Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Mtu yamkini kufuata dini ya rafiki yake, kwa hivyo muangalie unayemfanya rafiki.” (Abuu Daawuud na Tirmidhiy)

6. TULALE KIISLAM

Tumalizie kwa kuona namna anavyotakiwa Muislam kuimaliza siku yake kwa kujipumzisha Kiislam. Muislam anatakiwa atie wudhuu kabla ya kulala, wudhuu unaendana na Sunnah ya kupiga mswaki. Ni vizuri ukaswali rakaa tatu za witri (kwa wasioamka usiku).

Alikuwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akienda kulala usiku anakusanya viganja vyake kisha akivipuliza na akivisomea Suratul-Ikhlaas, na Suratul-Falaq, na Suratu-Nnaas, kisha akipangusa kwa hivyo viganja vyake kiasi anachoweza katika mwili wake, akianza kichwani na usoni na mbele (akifanya hivyo mara tatu).
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Ukienda kulala soma Ayatul-Kursiy mpaka uimalize kwani Mwenyezi Mungu Ataendeleakukuhifadhi wala hakukaribii shetani mpaka asubuhi”
Unapolala ulaze ubavu kwa upande wa kulia na usome du’aa ifuatayo:

اللّهُـمَّ أَسْـلَمْتُ نَفْـسي إِلَـيْكَ، وَفَوَّضْـتُ أَمْـري إِلَـيْكَ، وَوَجَّـهْتُ وا جْـهي إِلَـيْكَ، وَأَلْـجَـاْتُ ظَهـري إِلَـيْكَ، رَغْبَـةً وَرَهْـبَةً إِلَـيْكَ، لا مَلْجَـأَ وَلا مَنْـجـا مِنْـكَ إِلاّ إِلَـيْكَ، آمَنْـتُ بِكِتـابِكَ الّـذي أَنْزَلْـتَ وَبِنَبِـيِّـكَ الّـذي أَرْسَلْـت

“Ewe Mwenyezi Mungu nimeisalimisha nafsi yangu kwako, na nimekuachia mambo yangu Wewe na nimeuelekeza uso wangu kwako na nimeutegemeza mgongo wangu kwako, kwa matarajio na kwa kukuogopa, hapana sehemu ya kukimbilia wala ya kujiokoa ila kwako, nimekiamini kitabu chako ulichokiteremsha na Mtume wako uliyemtuma”.

Na hizi hapa ni Nyiradi za kulala.
Bila ya shaka tutakapoishi Kiislam tutakuwa mbali na wasiokuwa Waislam. Hivyo maisha yetu yatakuwa hakika ni ya Kiislam. Kila kitu yatakikana juhudi na inaanza kwa nafsi kujifunga kukubali mafundisho ya Kiislam. Inawezekana kubadilika kwa kuishi Kiislam. Anza sasa, katu usichelewe kuishi Kiislam.

 

 









  

  Magazeti

  Gazeti la Mwananchi
 
Gazeti la Uhuru
 
Gazeti la An-nuur
 
Gazeti la Raia Mwema
 
Arusha Times
  Gazeti la Majira
  Gazeti la Maisha
  Gazeti la Dimba (Sports)
 
Gazeti la Bingwa
 
Gazeti la Mwanaspoti
 
Gazeti la Mtanzania
 
The Citizen Newspaper
  Moja Newspaper
 
The Express - Tanzania
  Daily Nation
  Globalpublishertz
  The African Paper
 
The East African
 
Newspapers in IPPMedia
 
  Site za Kiswahili

  Sekenke Forums
 
Swahili News
 
TZ Website Addresses
 
Habari Tanzania
 
Dictionary ya Kiswahili
 
Ipp Media
 
BBC Swahili Site
 
Wazanzibari Maarufu
  Nifahamishe
 
  Magazeti ya Oman

  Oman Observer
 
Oman NewsPaper
 
Times Of Oman
  Alshabiba
  Almalaib
  Al-Watan
  Oman Tribune
  Nizwa Magazine
  Oman News Agencyimes
  Business Today
  The Week
 

 Frequencies za Satelitte.

 ArabSat (Badr C/3/4)
 Nilesat 101/102
 Channel Mpya (Headlines)
 Satelitte Mpya (launches)

Satelitte Sites, DVB,      Receivers.

 ProgDVB Site
 dvbskystar.com
 
dvbsoft.net
 Digital PC Receiver Cards
 skystar.org
 dvbsupport.net
 dvbsoft.eu
 fannansat (Arabic)
 kingofsat.net
 Links

Hali ya Hewa Leo - Oman

  Adam
  Al Rustaq
  As Sib
  Bahla
  Buraimi
  Fahud
  Haima
  Ibra
  Khassab
  Marmul
  Masirah
  Matrah
  Muscat
  Nizwa
  Qairoon Hairiti
  Saiq
  Salalah
  Samail
  Sohar Majis
  Sur
  Thumrait
  Taqah

 
 Oman Websites

  Omantel Website
  Oman Visa Form
  Read Omantel Email
  Omanmobile Website
  Nawras WebSite
  Arabian Oryx Project
  Census 2003
  Dhofar Municipality
  Muscat Municipality
  Ministry of Commerce
  Ministry of Education
  Ministry of Health
  Ministry of Awqaf
  Ministry of Transportation
  Ministry of Housing
  Ministry of Justice
  High Education
  Ministry of Oil & Gas
  MCT Securities Market
  Muscat Inter Book Fair
  Oman IT Task Force
  Oman Radio
  Oman Television
  Oman Air
  Sultan Qaboos University


Main Site Navigation:
Kamusi  |   Mijadala  |  
Anuani yetu    Quran   |   Downloads

 Site Navigation:
Ipp media   |  BBC 15:30   |   Stone town Zanzibar   |   Alhidaaya.com   |   Channel Africa
Bcstimes   |   Satellite chart   |   Harun Yahya site   |   Alshabiba

© Copyright 2006 All Rights Reserved SEKENKE.COM